Wednesday, May 16, 2012

OOH MKE WANGU!



Mwangwi wa vilio na simanzi kutoka kwa watu waliopoteza maisha baada ya meli kuzama kwenye mkondo wa bahari wa Nungwi, Zanzibar uliambaa kwenye maji na kwenda kugota kwenye ukuta wa chini ya bahari, mahali palipokuwa na maelfu ya makaburi yalichongwa kwenye mwamba mgumu kuhitimisha safari ya wote waliopoteza maisha yao kwenye ajali hiyo ya kihistoria.
 Kwa binadamu wa kawaida, wenye macho yanayoweza kutofautisha giza na mwanga pekee, hiyo ilikuwa ni ajali ya bahati mbaya kama zilivyo ajali nyingine lakini kwa wale wenye uwezo wa kuona zaidi  ya upeo wa  kawaida wa binadamu (beyond normal vision), haikuwa ajali ya bahati mbaya bali kitu kikubwa zaidi kilichopangwa na kuratibiwa kwa umakini wa hali ya juu.

Mwangwi wa vilio na simanzi kutoka kwa watu waliopoteza maisha baada ya meli kuzama kwenye mkondo wa bahari wa Nungwi, Zanzibar uliambaa kwenye maji na kwenda kugota kwenye ukuta wa chini ya bahari, mahali palipokuwa na maelfu ya makaburi yalichongwa kwenye mwamba mgumu kuhitimisha safari ya wote waliopoteza maisha yao kwenye ajali hiyo ya kihistoria.
 Kwa binadamu wa kawaida, wenye macho yanayoweza kutofautisha giza na mwanga pekee, hiyo ilikuwa ni ajali ya bahati mbaya kama zilivyo ajali nyingine lakini kwa wale wenye uwezo wa kuona zaidi  ya upeo wa  kawaida wa binadamu (beyond normal vision), haikuwa ajali ya bahati mbaya bali kitu kikubwa zaidi kilichopangwa na kuratibiwa kwa umakini wa hali ya juu.
Mwangwi wa vilio na simanzi kutoka kwa watu waliopoteza maisha baada ya meli kuzama kwenye mkondo wa bahari wa Nungwi, Zanzibar uliambaa kwenye maji na kwenda kugota kwenye ukuta wa chini ya bahari, mahali palipokuwa na maelfu ya makaburi yalichongwa kwenye mwamba mgumu kuhitimisha safari ya wote waliopoteza maisha yao kwenye ajali hiyo ya kihistoria.
 Kwa binadamu wa kawaida, wenye macho yanayoweza kutofautisha giza na mwanga pekee, hiyo ilikuwa ni ajali ya bahati mbaya kama zilivyo ajali nyingine lakini kwa wale wenye uwezo wa kuona zaidi  ya upeo wa  kawaida wa binadamu (beyond normal vision), haikuwa ajali ya bahati mbaya bali kitu kikubwa zaidi kilichopangwa na kuratibiwa kwa umakini wa hali ya juu.
Mwangwi wa vilio na simanzi kutoka kwa watu waliopoteza maisha baada ya meli kuzama kwenye mkondo wa bahari wa Nungwi, Zanzibar uliambaa kwenye maji na kwenda kugota kwenye ukuta wa chini ya bahari, mahali palipokuwa na maelfu ya makaburi yalichongwa kwenye mwamba mgumu kuhitimisha safari ya wote waliopoteza maisha yao kwenye ajali hiyo ya kihistoria.
 Kwa binadamu wa kawaida, wenye macho yanayoweza kutofautisha giza na mwanga pekee, hiyo ilikuwa ni ajali ya bahati mbaya kama zilivyo ajali nyingine lakini kwa wale wenye uwezo wa kuona zaidi  ya upeo wa  kawaida wa binadamu (beyond normal vision), haikuwa ajali ya bahati mbaya bali kitu kikubwa zaidi kilichopangwa na kuratibiwa kwa umakini wa hali ya juu.


No comments:

Post a Comment