Mwangwi wa vilio na simanzi kutoka kwa watu waliopoteza
maisha baada ya meli kuzama kwenye mkondo wa bahari wa Nungwi, Zanzibar
uliambaa kwenye maji na kwenda kugota kwenye ukuta wa chini ya bahari, mahali
palipokuwa na maelfu ya makaburi yalichongwa kwenye mwamba mgumu kuhitimisha
safari ya wote waliopoteza maisha yao kwenye ajali hiyo ya kihistoria.
Kwa binadamu wa
kawaida, wenye macho yanayoweza kutofautisha giza na mwanga pekee, hiyo ilikuwa
ni ajali ya bahati mbaya kama zilivyo ajali nyingine lakini kwa wale wenye
uwezo wa kuona zaidi ya upeo wa kawaida wa binadamu (beyond normal vision),
haikuwa ajali ya bahati mbaya bali kitu kikubwa zaidi kilichopangwa na
kuratibiwa kwa umakini wa hali ya juu.
Mwangwi wa vilio na simanzi kutoka kwa watu waliopoteza
maisha baada ya meli kuzama kwenye mkondo wa bahari wa Nungwi, Zanzibar
uliambaa kwenye maji na kwenda kugota kwenye ukuta wa chini ya bahari, mahali
palipokuwa na maelfu ya makaburi yalichongwa kwenye mwamba mgumu kuhitimisha
safari ya wote waliopoteza maisha yao kwenye ajali hiyo ya kihistoria.
Kwa binadamu wa
kawaida, wenye macho yanayoweza kutofautisha giza na mwanga pekee, hiyo ilikuwa
ni ajali ya bahati mbaya kama zilivyo ajali nyingine lakini kwa wale wenye
uwezo wa kuona zaidi ya upeo wa kawaida wa binadamu (beyond normal vision),
haikuwa ajali ya bahati mbaya bali kitu kikubwa zaidi kilichopangwa na
kuratibiwa kwa umakini wa hali ya juu.
Mwangwi wa vilio na simanzi kutoka kwa watu waliopoteza
maisha baada ya meli kuzama kwenye mkondo wa bahari wa Nungwi, Zanzibar
uliambaa kwenye maji na kwenda kugota kwenye ukuta wa chini ya bahari, mahali
palipokuwa na maelfu ya makaburi yalichongwa kwenye mwamba mgumu kuhitimisha
safari ya wote waliopoteza maisha yao kwenye ajali hiyo ya kihistoria.
Kwa binadamu wa
kawaida, wenye macho yanayoweza kutofautisha giza na mwanga pekee, hiyo ilikuwa
ni ajali ya bahati mbaya kama zilivyo ajali nyingine lakini kwa wale wenye
uwezo wa kuona zaidi ya upeo wa kawaida wa binadamu (beyond normal vision),
haikuwa ajali ya bahati mbaya bali kitu kikubwa zaidi kilichopangwa na
kuratibiwa kwa umakini wa hali ya juu.
Mwangwi wa vilio na simanzi kutoka kwa watu waliopoteza
maisha baada ya meli kuzama kwenye mkondo wa bahari wa Nungwi, Zanzibar
uliambaa kwenye maji na kwenda kugota kwenye ukuta wa chini ya bahari, mahali
palipokuwa na maelfu ya makaburi yalichongwa kwenye mwamba mgumu kuhitimisha
safari ya wote waliopoteza maisha yao kwenye ajali hiyo ya kihistoria.
Kwa binadamu wa
kawaida, wenye macho yanayoweza kutofautisha giza na mwanga pekee, hiyo ilikuwa
ni ajali ya bahati mbaya kama zilivyo ajali nyingine lakini kwa wale wenye
uwezo wa kuona zaidi ya upeo wa kawaida wa binadamu (beyond normal vision),
haikuwa ajali ya bahati mbaya bali kitu kikubwa zaidi kilichopangwa na
kuratibiwa kwa umakini wa hali ya juu.
No comments:
Post a Comment